Waziri wa viwanda na biashara. Mh. Abdalah Kigoda akihutubia washiriki wakati akifungua rasmi maonesho ya kimataifa ya biashara mkoani Tanga
Mkuu wa mkoa wa Tanga Mh. Chiku Galawa, akihutubia washiriki wakati wa ufunguzi wa maonesho ya kimataifa ya biashara Tanga
Waziri wa viwanda na biashara alipotembelea banda la bidhaa za Banana investmetns wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara mkoani Tanga. Hapa akipata maelezo toka kwa meneja mauzo mkoa wa Tanga.
Mbunge wa Lushoto mjini Mh. Hendri Shekifu akipata maelezo juu ya bidhaa za Banana Investments, toka kwa mwakilishi wa kampuni S. Mvungi wakati wa maonesho.
Mkurugenzi mtendaji wa Banana investments, wa pili kutoka kushoto Mh. Adolf R. Olomi akiwa na viongozi wengine wa kampuni walipotembelea banda la kampuni wakati wa maonesho.
Hiki ndicho cheti cha ushindi wa pili ambacho kampuni ya Banana Investments ilishinda wakati wa maonesho ya kimataifa ya biashara mkoani Tanga
Muonekano wa banda la Banana investments ndani ya banda kuu la maonesho (Excecutive Tent)
Bidhaa zikiwa zinapendeza ndani ya banda wakati wa maonesho.
Wateja wa bidhaa za Raha, Raha poa, na Fiesta dry gin zinazozalishwa na kampuni ya Banana Investments wakionja bidhaa hizo wakati wa maonesho.
Ilikuwa ni burudani mwanzo mwisho, hakika kila mmoja aliyetembelea banda la Banana Investments alifurahi.
Hapa wateja wakipata maelezo juu ya bidhaa za kampuni toka kwa meneja mauzo wa bohari ya Tanga. Ndg. Adolf Nikolao Mlay
Kushoto ni meneja wa PPF kanda ya Kinondoni, Pwani na Tanga, Bi. Zahra R. Kayugwa, alipotembelea banda la Banana Investments wakati wa maonesho.
Banda la Banana Investments likiwa linapendeza wakati wa maonesho.
Madhari tulivu ya bahari ya hindi Mkoani Tanga, meli kwa mbali ikikaribia kuingia bandarini.
Waziri wa viwanda na biashara Mh. Abdalah Kigoda alipokata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa maonesho ya kimataifa ya biashara mkoani Tanga.
No comments:
Post a Comment